Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mtaki (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on June 14, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 20, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 10, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Njeri (Guest) on March 3, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on February 29, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on January 24, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

James Mduma (Guest) on December 10, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

James Kimani (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on November 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joseph Kitine (Guest) on October 4, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Baraka (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on September 23, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 15, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 30, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Said (Guest) on August 14, 2023

Mzee kawawezaπŸ˜€

Lydia Wanyama (Guest) on July 28, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Nuru (Guest) on July 17, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on July 2, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rose Waithera (Guest) on June 10, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Husna (Guest) on June 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on June 1, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yusuf (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Richard Mulwa (Guest) on April 24, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on April 21, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Omar (Guest) on April 17, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on March 29, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Alex Nyamweya (Guest) on March 29, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samuel Omondi (Guest) on February 18, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on December 30, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jaffar (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on November 17, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on November 11, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 2, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on November 1, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Naliaka (Guest) on October 30, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on October 28, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jackson Makori (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Malima (Guest) on September 3, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Ali (Guest) on June 11, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Henry Mollel (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwafirika (Guest) on June 8, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Omar (Guest) on June 1, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on May 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Charles Mrope (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on March 26, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Diana Mumbua (Guest) on March 23, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Charles Mrope (Guest) on January 28, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on January 14, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on January 8, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Mallya (Guest) on December 24, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More