Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp…!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

β€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake… Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniuliza…*

_Hao wanawake unawajuwa, …mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli…!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa…!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa…! Akaniandikia message nyingine….

*…Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe… Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri…!*

Nami nikamjibu…

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo…!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai…!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa…. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kahina (Guest) on July 12, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on July 8, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Josephine Nduta (Guest) on June 30, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Simon Kiprono (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on February 3, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mazrui (Guest) on January 26, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jacob Kiplangat (Guest) on January 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 20, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Kawawa (Guest) on January 9, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on December 21, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on November 14, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

David Chacha (Guest) on November 3, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on September 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on August 13, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on August 12, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on August 7, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on July 31, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Amani (Guest) on July 14, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mbise (Guest) on July 13, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Khalifa (Guest) on June 26, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 17, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mwambui (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nassor (Guest) on May 25, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Charles Mrope (Guest) on May 24, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on May 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on April 6, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Monica Lissu (Guest) on April 5, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Vincent Mwangangi (Guest) on March 29, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on March 5, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joseph Njoroge (Guest) on February 8, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on December 28, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Irene Akoth (Guest) on December 24, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on December 18, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on December 12, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on November 27, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zulekha (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on October 26, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 20, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Wafula (Guest) on September 10, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Violet Mumo (Guest) on August 14, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on August 5, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Susan Wangari (Guest) on July 17, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Asha (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lucy Mahiga (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Malima (Guest) on May 12, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on April 1, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More