Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Anyango (Guest) on November 27, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on November 14, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kijakazi (Guest) on September 26, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on September 16, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on September 5, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mohamed (Guest) on September 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

John Lissu (Guest) on August 29, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on August 28, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwakisu (Guest) on August 28, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on August 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Shabani (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Achieng (Guest) on August 5, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on July 16, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on June 26, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mgeni (Guest) on June 24, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mazrui (Guest) on May 25, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on April 18, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Janet Sumari (Guest) on April 13, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rose Amukowa (Guest) on March 22, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Nkya (Guest) on March 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on February 23, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on January 29, 2017

😊🀣πŸ”₯

Charles Mrope (Guest) on January 5, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mchome (Guest) on October 30, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mohamed (Guest) on October 3, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Janet Mwikali (Guest) on August 13, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lydia Mahiga (Guest) on July 23, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on July 1, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on May 31, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on May 13, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kassim (Guest) on May 7, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on May 5, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Latifa (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on April 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on April 16, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Kiwanga (Guest) on March 23, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on March 14, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on March 2, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Warda (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Majid (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Muslima (Guest) on November 26, 2015

Asante Ackyshine

Kijakazi (Guest) on November 21, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Agnes Sumaye (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 3, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on August 8, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Dorothy Nkya (Guest) on August 3, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jabir (Guest) on July 24, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Mary Kidata (Guest) on July 16, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Fadhili (Guest) on June 29, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on June 7, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Nuru (Guest) on May 23, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mwanaidi (Guest) on May 19, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on May 16, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on April 24, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More