Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

Featured Image

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea Nyoka hatar san Ambaye hajawah kutokea duniania.. wanadai kwamba nyoka huyo anaongezeka ulrefu wa 0.5sm kila akila chakula na huwa anakula chakula kuanzia sekunde 30 kurudi nyuma.. mpaka sasa hakuna siraha ya kuweza kumuua nyoka huyo isipokuwa akiji uma mwenye ndo anaweza kufa, wanasayansi hao walieleza japo uchunguz zaid bado unaendelea… huyu ni nyoka anayeua kuliko nyoka wote waliowah kutokea katika historia ya maisha ya mwanadam..

nyoka huyu hupatikana katika simu pekee za nokia toch katika sehem ya game inaitwa snake xenzia..

asanteni kwa kufurah na umakin mkubwa katika usomaji wa matini hii…

haya ni mambo ya wikiend jaman na iwe njema kwenu wote

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Mwalimu (Guest) on January 13, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 8, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on January 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on December 28, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on December 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on December 20, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on December 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on November 28, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Bakari (Guest) on November 18, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Anna Mahiga (Guest) on November 16, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on November 8, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Fredrick Mutiso (Guest) on October 18, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Francis Mtangi (Guest) on October 7, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

George Mallya (Guest) on October 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 10, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Kijakazi (Guest) on August 11, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on July 29, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nasra (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Raphael Okoth (Guest) on July 16, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ndoto (Guest) on July 6, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Stephen Kikwete (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on June 6, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on May 30, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Maneno (Guest) on May 29, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Sekela (Guest) on April 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarafina (Guest) on March 30, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jaffar (Guest) on March 8, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jafari (Guest) on March 6, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on February 26, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on February 15, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on January 28, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on January 11, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on January 9, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sharon Kibiru (Guest) on December 25, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on December 24, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Leila (Guest) on December 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jackson Makori (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on November 23, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Lucy Wangui (Guest) on November 19, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Omari (Guest) on November 11, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Mwalimu (Guest) on October 26, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chiku (Guest) on October 14, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ahmed (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Janet Mbithe (Guest) on September 16, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on September 6, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Kahina (Guest) on August 16, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Kawawa (Guest) on August 7, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on August 3, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ndoto (Guest) on June 24, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mgeni (Guest) on June 11, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Edward Chepkoech (Guest) on June 11, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on May 22, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nashon (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nassar (Guest) on May 2, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Joseph Mallya (Guest) on April 15, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More