Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abubakari (Guest) on October 21, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Sokoine (Guest) on September 24, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Irene Makena (Guest) on September 4, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on August 13, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on August 4, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joseph Kiwanga (Guest) on June 16, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ibrahim (Guest) on June 12, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Henry Mollel (Guest) on May 31, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on May 19, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Mugendi (Guest) on April 25, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on April 15, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on April 7, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ahmed (Guest) on April 4, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mwafirika (Guest) on March 3, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Charles Mrope (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Sarah Mbise (Guest) on February 12, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Lucy Wangui (Guest) on January 19, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on January 17, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on January 14, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Nancy Akumu (Guest) on December 16, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Latifa (Guest) on December 14, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Lucy Wangui (Guest) on November 9, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Grace Majaliwa (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mchuma (Guest) on October 19, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Samuel Omondi (Guest) on September 8, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Sarafina (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Rashid (Guest) on August 17, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

David Kawawa (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on August 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on June 13, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 22, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kahina (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on April 12, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on March 26, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on March 25, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mchawi (Guest) on March 17, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Kimaro (Guest) on March 10, 2016

🀣πŸ”₯😊

Peter Mbise (Guest) on March 1, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on February 20, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Warda (Guest) on February 19, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Alice Mrema (Guest) on January 22, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on December 15, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on December 7, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Janet Wambura (Guest) on December 2, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on November 29, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

James Kimani (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Brian Karanja (Guest) on July 15, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on July 15, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kimani (Guest) on July 8, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on June 17, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on May 13, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on May 13, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More