Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

Msichana anakata simu jamaa ndo ananiuliza."sasa
sijui amekasirikia lipi?" Mi nikamwambia we zuzu
umemwambia AKUSAHAU, dah, kumbe
ningemwambiaje? hahaha, ungemwambia
ForgivE me! au Ungesema Tu NaombA nSameHe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mchawi (Guest) on July 10, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ann Wambui (Guest) on July 5, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 23, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on April 30, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam (Guest) on April 12, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on April 8, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on April 4, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on March 21, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Andrew Mchome (Guest) on February 28, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 25, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Shukuru (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

David Nyerere (Guest) on February 2, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Kimaro (Guest) on December 21, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 16, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on November 21, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Zakaria (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

James Kimani (Guest) on November 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 2, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on October 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Zainab (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on September 5, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on August 24, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on August 23, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on August 11, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Neema (Guest) on August 9, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on July 13, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on June 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Yusra (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on March 24, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on March 13, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Halimah (Guest) on March 8, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ann Awino (Guest) on March 7, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on February 14, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on February 9, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Were (Guest) on December 18, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on October 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Diana Mumbua (Guest) on September 8, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on August 18, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on July 16, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Bahati (Guest) on July 2, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on June 29, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on June 28, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on May 29, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Betty Akinyi (Guest) on May 20, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baridi (Guest) on May 6, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

David Kawawa (Guest) on May 1, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anthony Kariuki (Guest) on April 3, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rose Kiwanga (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More