Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Featured Image

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu

Akikuita tu "my love"unajiskia tu kuvua nguo mwenywe
..
hicho kiupendo ukiwa nae unajskia unaweza piga wanaume 8 kwa pamoja

Yani ile love mtashinda pamoja kutwa nzima afu usiku unakopa salio umpigie muongee

Yani yale mapenz kiasi ukiona love story za romeo na Juliet unaona hakuna wanachofanya coz mapenz yao hayafikii yenu..

ile true love akikuangalia machoni akuguse mashavu afu akwambie,"I love u"
Unajishikilia kwenye ukuta usizimie..

yani ukimfikiria unaweza kulala chini ya kitanda Ku dilute hiyo feeling coz ni too much..

Umewahi kufeel hivyo??

Kama ushawai experience hivyo?? Basi HIYO SIYO "LOVE" NI "BANGI" PLZ ACHA KUTUMIA!
#ishakua_biashara_kichaa

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Kimotho (Guest) on October 9, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Zakaria (Guest) on October 5, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Philip Nyaga (Guest) on September 30, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Nasra (Guest) on September 18, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on August 31, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Kahina (Guest) on August 24, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Michael Onyango (Guest) on July 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Daudi (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwanaidha (Guest) on July 4, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Samuel Omondi (Guest) on July 4, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on June 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mushi (Guest) on June 9, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on May 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on May 4, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 15, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on April 1, 2019

🀣πŸ”₯😊

Miriam Mchome (Guest) on March 20, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Sumari (Guest) on February 26, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jane Muthui (Guest) on January 24, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Michael Mboya (Guest) on January 14, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on January 6, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Komba (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Husna (Guest) on November 10, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Rabia (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Mrema (Guest) on September 16, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rose Lowassa (Guest) on September 10, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Malisa (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

George Tenga (Guest) on August 5, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 16, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on June 14, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on May 25, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on May 25, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on May 9, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mjaka (Guest) on May 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Muslima (Guest) on March 22, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Mwinuka (Guest) on March 22, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on March 9, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on March 5, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maneno (Guest) on March 4, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Ann Awino (Guest) on February 18, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nancy Kawawa (Guest) on February 5, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on February 4, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 12, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on January 5, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on December 2, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on November 29, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Hassan (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nora Kidata (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Okello (Guest) on September 29, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on September 19, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Lissu (Guest) on September 14, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Wilson Ombati (Guest) on September 3, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mahiga (Guest) on August 11, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on July 27, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mgeni (Guest) on July 23, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Emily Chepngeno (Guest) on July 4, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Komba (Guest) on June 25, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 20, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More