Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Featured Image

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi

UFAFANUZI

1. Hazeeki kwa sababu hufa mapema kwa kifua kikuu

2. Haumwi na mbwa kwa vile kifua na mapafu yanapooza na hulazimika kutembea na bakora

3. Nyumbani kwake haingii mwizi kwa kuwa inafika wakati ambapo halali:
atakohoa usiku kucha hivyo mwizi anajua yupo macho
kumbe kikohozi tu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nekesa (Guest) on January 5, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 29, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Michael Mboya (Guest) on December 12, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on October 16, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on October 6, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Esther Nyambura (Guest) on September 23, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on September 4, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Tabitha Okumu (Guest) on September 3, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on August 27, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Peter Tibaijuka (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on July 19, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on July 5, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on May 9, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mwikali (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on March 26, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on March 11, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on February 28, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on February 21, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Catherine Mkumbo (Guest) on February 15, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Amollo (Guest) on February 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on January 17, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Sokoine (Guest) on January 11, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 31, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on December 28, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Irene Akoth (Guest) on December 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on December 2, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Hawa (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Chris Okello (Guest) on September 25, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on September 18, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Mushi (Guest) on July 5, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on June 11, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Kawawa (Guest) on May 20, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

George Tenga (Guest) on May 5, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 24, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Maida (Guest) on April 18, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on April 14, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on April 10, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on March 21, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on February 21, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Mrope (Guest) on February 9, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Kawawa (Guest) on January 4, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on December 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Jabir (Guest) on December 12, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Miriam Mchome (Guest) on November 1, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 29, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on October 24, 2017

Asante Ackyshine

George Tenga (Guest) on October 16, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on October 9, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on September 23, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on September 17, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on August 31, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Violet Mumo (Guest) on August 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nora Kidata (Guest) on August 21, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Sarafina (Guest) on June 12, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on May 17, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Jamila (Guest) on May 1, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Nyalandu (Guest) on April 5, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More