Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Featured Image

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi

UFAFANUZI

1. Hazeeki kwa sababu hufa mapema kwa kifua kikuu

2. Haumwi na mbwa kwa vile kifua na mapafu yanapooza na hulazimika kutembea na bakora

3. Nyumbani kwake haingii mwizi kwa kuwa inafika wakati ambapo halali:
atakohoa usiku kucha hivyo mwizi anajua yupo macho
kumbe kikohozi tu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nekesa (Guest) on January 5, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 29, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Michael Mboya (Guest) on December 12, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on October 16, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on October 6, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Esther Nyambura (Guest) on September 23, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on September 4, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Tabitha Okumu (Guest) on September 3, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on August 27, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Peter Tibaijuka (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on July 19, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on July 5, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on May 9, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mwikali (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on March 26, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on March 11, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on February 28, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on February 21, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Catherine Mkumbo (Guest) on February 15, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Amollo (Guest) on February 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on January 17, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Sokoine (Guest) on January 11, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 31, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on December 28, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Irene Akoth (Guest) on December 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on December 2, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Hawa (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Chris Okello (Guest) on September 25, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on September 18, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Mushi (Guest) on July 5, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on June 11, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Kawawa (Guest) on May 20, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

George Tenga (Guest) on May 5, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 24, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Maida (Guest) on April 18, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on April 14, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on April 10, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on March 21, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on February 21, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Mrope (Guest) on February 9, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Kawawa (Guest) on January 4, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on December 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Jabir (Guest) on December 12, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Miriam Mchome (Guest) on November 1, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 29, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on October 24, 2017

Asante Ackyshine

George Tenga (Guest) on October 16, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on October 9, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on September 23, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on September 17, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on August 31, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Violet Mumo (Guest) on August 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nora Kidata (Guest) on August 21, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Sarafina (Guest) on June 12, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on May 17, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Jamila (Guest) on May 1, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Nyalandu (Guest) on April 5, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More