Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Shabani (Guest) on August 18, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jaffar (Guest) on July 19, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on July 13, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Malecela (Guest) on July 11, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on June 16, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Henry Sokoine (Guest) on June 10, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Moses Mwita (Guest) on June 8, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ramadhan (Guest) on June 3, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Mwikali (Guest) on June 1, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Nyerere (Guest) on May 14, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on April 20, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Rahim (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Andrew Mchome (Guest) on April 14, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on March 2, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on December 24, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Kawawa (Guest) on November 29, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on November 25, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on November 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on November 8, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rubea (Guest) on October 23, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Agnes Njeri (Guest) on October 19, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on October 5, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on September 20, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on September 13, 2018

🀣πŸ”₯😊

Alex Nyamweya (Guest) on September 11, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Halima (Guest) on September 8, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Zakia (Guest) on August 15, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Njeri (Guest) on August 13, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on August 13, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on July 28, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Anthony Kariuki (Guest) on July 8, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on July 8, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on May 29, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwachumu (Guest) on May 22, 2018

Asante Ackyshine

Richard Mulwa (Guest) on May 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on May 20, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on April 17, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on April 11, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on April 1, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on April 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Leila (Guest) on March 25, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Emily Chepngeno (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on February 17, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Athumani (Guest) on February 17, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Monica Lissu (Guest) on February 14, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on February 10, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on January 28, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on January 27, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on January 23, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Kabura (Guest) on January 4, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

George Ndungu (Guest) on November 29, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on November 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Sokoine (Guest) on October 24, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on October 19, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Related Posts

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More