Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Malecela (Guest) on July 11, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on June 16, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Henry Sokoine (Guest) on June 10, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Moses Mwita (Guest) on June 8, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ramadhan (Guest) on June 3, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Mwikali (Guest) on June 1, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Nyerere (Guest) on May 14, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on April 20, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Rahim (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Andrew Mchome (Guest) on April 14, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on March 2, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on December 24, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Kawawa (Guest) on November 29, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on November 25, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on November 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on November 8, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rubea (Guest) on October 23, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Agnes Njeri (Guest) on October 19, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on October 5, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on September 20, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on September 13, 2018

🀣πŸ”₯😊

Alex Nyamweya (Guest) on September 11, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Halima (Guest) on September 8, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Zakia (Guest) on August 15, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Njeri (Guest) on August 13, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on August 13, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on July 28, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Anthony Kariuki (Guest) on July 8, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on July 8, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on May 29, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwachumu (Guest) on May 22, 2018

Asante Ackyshine

Richard Mulwa (Guest) on May 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on May 20, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on April 17, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on April 11, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on April 1, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on April 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Leila (Guest) on March 25, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Emily Chepngeno (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on February 17, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Athumani (Guest) on February 17, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Monica Lissu (Guest) on February 14, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on February 10, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on January 28, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on January 27, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on January 23, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Kabura (Guest) on January 4, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

George Ndungu (Guest) on November 29, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on November 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Sokoine (Guest) on October 24, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on October 19, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nora Kidata (Guest) on September 28, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Sokoine (Guest) on September 6, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Related Posts

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More