Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Kikwete (Guest) on December 9, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 24, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mariam Hassan (Guest) on November 7, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Mwikali (Guest) on October 14, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Abubakar (Guest) on July 23, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Jane Muthui (Guest) on June 17, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on June 13, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Sarah Mbise (Guest) on May 27, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Margaret Anyango (Guest) on April 15, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Musyoka (Guest) on April 14, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on March 31, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam Hassan (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Leila (Guest) on February 15, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Sarah Karani (Guest) on February 5, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Njeri (Guest) on January 30, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on December 13, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Robert Okello (Guest) on December 1, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on November 12, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kheri (Guest) on November 8, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 30, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on October 26, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mwanaidi (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Neema (Guest) on September 11, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Malela (Guest) on August 26, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mahiga (Guest) on July 17, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on June 28, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on June 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on June 1, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Kibona (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 14, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on May 2, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 4, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Irene Akoth (Guest) on April 2, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Linda Karimi (Guest) on March 6, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Lissu (Guest) on March 5, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mohamed (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Janet Sumari (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Malecela (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on December 31, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on December 28, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on December 27, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 15, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on November 17, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on November 13, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on November 6, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Robert Ndunguru (Guest) on November 2, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on October 20, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Mwangi (Guest) on October 4, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Hashim (Guest) on October 4, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Yahya (Guest) on September 26, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rose Mwinuka (Guest) on September 5, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on September 5, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sekela (Guest) on August 20, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Dorothy Nkya (Guest) on August 19, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Related Posts

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More