Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!





Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Onyango (Guest) on July 6, 2019

Asante Ackyshine

Samuel Omondi (Guest) on June 24, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on June 17, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Zakaria (Guest) on May 21, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Wande (Guest) on May 11, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Charles Mrope (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Zakaria (Guest) on March 30, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mariam Hassan (Guest) on March 11, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Faiza (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ali (Guest) on February 5, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwanaisha (Guest) on February 2, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Stephen Kangethe (Guest) on January 19, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on December 4, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Masika (Guest) on November 19, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mohamed (Guest) on November 15, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Anna Malela (Guest) on October 9, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rubea (Guest) on September 16, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Brian Karanja (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on September 15, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Shamim (Guest) on September 10, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Raha (Guest) on September 3, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Faith Kariuki (Guest) on August 29, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on August 28, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on August 15, 2018

😊🀣πŸ”₯

Philip Nyaga (Guest) on August 14, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Masika (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on July 20, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Stephen Mushi (Guest) on June 6, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Karani (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Anthony Kariuki (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on May 7, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Malisa (Guest) on April 8, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on March 24, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on March 17, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Kamande (Guest) on February 5, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nasra (Guest) on December 30, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Hellen Nduta (Guest) on December 17, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on November 18, 2017

🀣πŸ”₯😊

Edith Cherotich (Guest) on November 18, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on November 11, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on October 26, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Betty Akinyi (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on September 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on September 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on August 17, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on July 31, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on July 26, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Mrope (Guest) on July 16, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwakisu (Guest) on July 14, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Patrick Mutua (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joyce Mussa (Guest) on June 20, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on June 5, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 31, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joseph Kitine (Guest) on April 27, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sharifa (Guest) on March 31, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Related Posts

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More