Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Featured Image

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akaletewa bili kama ifuatavyo:
Manka 35,000
Marieta 20,000
Kekuu 30,000





Kitime 15,000
Kinabo 10,000
TOTAL 110,000/=
MASSAWE akaicheki akasema "Wote nitawalipia lakini huyo "TOTAL" Yesuu simlipii.
Kwansa anamiliki sheli kibao sa mafuta hapa bongo. Shensi taip ! Na amekunywa nyingi kuliko wote alipe mwenyewe…


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Paul Kamau (Guest) on May 26, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanais (Guest) on May 16, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Martin Otieno (Guest) on May 15, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Selemani (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Catherine Naliaka (Guest) on April 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mrope (Guest) on April 21, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mashaka (Guest) on April 19, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwakisu (Guest) on April 5, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on April 4, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 14, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sultan (Guest) on March 12, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on March 11, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nassar (Guest) on March 3, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on February 22, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Makame (Guest) on January 25, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Majaliwa (Guest) on January 25, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on December 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on December 21, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on November 15, 2018

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on October 18, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Masika (Guest) on October 12, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Wanjiru (Guest) on September 1, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Maimuna (Guest) on August 9, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Daniel Obura (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elizabeth Mtei (Guest) on June 7, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on May 29, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 15, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on May 7, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Diana Mumbua (Guest) on April 11, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on March 13, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

James Kawawa (Guest) on March 9, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Charles Mboje (Guest) on March 4, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Raha (Guest) on February 9, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jackson Makori (Guest) on January 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on January 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Linda Karimi (Guest) on January 2, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

John Kamande (Guest) on December 20, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on December 14, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Edward Lowassa (Guest) on December 10, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on November 6, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on November 4, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Violet Mumo (Guest) on September 14, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 13, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on September 11, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jamal (Guest) on September 6, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Saidi (Guest) on August 24, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mustafa (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Linda Karimi (Guest) on July 31, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on July 24, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on July 9, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Patrick Akech (Guest) on July 4, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mjaka (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Daniel Obura (Guest) on June 29, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Musyoka (Guest) on June 24, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More