Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..





BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ann Awino (Guest) on June 1, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on April 16, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on March 26, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sumaya (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

James Kimani (Guest) on March 15, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 12, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 12, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on February 10, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Charles Mboje (Guest) on January 23, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Njeri (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on December 9, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Catherine Mkumbo (Guest) on November 12, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mzee (Guest) on November 11, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joy Wacera (Guest) on October 16, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Daniel Obura (Guest) on October 9, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Malisa (Guest) on September 23, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on September 21, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Kawawa (Guest) on September 21, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Benjamin Masanja (Guest) on August 16, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Kheri (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joy Wacera (Guest) on July 30, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mzee (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ramadhan (Guest) on July 9, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ruth Kibona (Guest) on June 17, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 4, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on April 29, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on April 23, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on April 20, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on April 10, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Miriam Mchome (Guest) on March 3, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jabir (Guest) on February 3, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Abubakar (Guest) on February 2, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Diana Mallya (Guest) on January 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on January 15, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on January 2, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Minja (Guest) on December 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Leila (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Makame (Guest) on November 21, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Esther Nyambura (Guest) on November 14, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Alex Nakitare (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 29, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kimario (Guest) on October 14, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on September 7, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on August 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on July 29, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on July 23, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Esther Nyambura (Guest) on July 17, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on July 14, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Fadhili (Guest) on July 3, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Andrew Odhiambo (Guest) on June 26, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on June 20, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on June 10, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

David Nyerere (Guest) on June 1, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on May 24, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Omari (Guest) on April 11, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 9, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Aoko (Guest) on April 3, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Related Posts

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More