Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.
Masai: kwanini Ng'ombe ngali?
Dereva: kwa sababu ni mkubwa zaidi ya mbuzi
Masai: umepata..na mbusi na kuku ipi ngali
Dereva: ni mbuzi kwa sababu nae ni mkubwa kuliko kuku.
Masai: Umepata..
Masai: sasa me nimekwenda kule mwenge kwa ngali kubwa nikalitoa sh. 500 hii yko ndogo unasema nikupe 40,000 wewe acha wizi.. Nitakupa 250 Tu..wee acha lbia morani…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarah Karani (Guest) on April 27, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Kijakazi (Guest) on April 9, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elijah Mutua (Guest) on March 31, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Paul Ndomba (Guest) on March 23, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on March 12, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on March 4, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kawawa (Guest) on January 14, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on January 11, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on December 19, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on December 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alex Nyamweya (Guest) on November 23, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Husna (Guest) on November 17, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

John Lissu (Guest) on November 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on October 21, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sofia (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sarah Achieng (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 11, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on August 25, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Rashid (Guest) on August 15, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on August 10, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 8, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Maimuna (Guest) on June 18, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Sumaye (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Daniel Obura (Guest) on April 24, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joseph Kitine (Guest) on April 19, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Edwin Ndambuki (Guest) on April 1, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on March 5, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alex Nyamweya (Guest) on March 2, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on January 27, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on December 30, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mchome (Guest) on December 10, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Janet Sumaye (Guest) on November 15, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on November 8, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 25, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Kevin Maina (Guest) on September 25, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ann Wambui (Guest) on September 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Njuguna (Guest) on August 20, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Selemani (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Stephen Kangethe (Guest) on July 25, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Frank Macha (Guest) on July 13, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on June 20, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kassim (Guest) on June 19, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Yusra (Guest) on May 21, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on May 9, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Mushi (Guest) on April 15, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on March 7, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Patrick Akech (Guest) on March 6, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Raha (Guest) on March 5, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elizabeth Mrema (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on January 5, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Betty Akinyi (Guest) on December 13, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Victor Malima (Guest) on November 25, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rose Waithera (Guest) on October 27, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Mwalimu (Guest) on October 18, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Chum (Guest) on October 17, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fredrick Mutiso (Guest) on October 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More