Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Featured Image

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wake wa makopo akaona chupa ambayo ndani kuna ki2, alipoifungua likatoka jitu la ajabu. Huku akitetemeka lile jitu likamwambia kijana asante sana kwa kuniokoa omba vi2 viwili sasa hivi. Kijana kwa hofu akaomba pesa za kumiliki magari na majumba ya kifahari. Ghafla fuko la hela na pete ya bahati vikadondoka. Akaambiwa ombi la pili,akasema nibadilishe niwe kivutio ili nipendwe sana nakina dada Hapohapo akageuzwa akawa chipsi yai.!!πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Masanja (Guest) on July 5, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

David Chacha (Guest) on June 19, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on April 2, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on March 25, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on March 15, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 2, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on February 4, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on January 23, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on January 13, 2019

Asante Ackyshine

John Lissu (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

George Mallya (Guest) on December 10, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwinyi (Guest) on November 29, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rose Kiwanga (Guest) on November 9, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 7, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on September 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on September 21, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on August 29, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on July 29, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ann Wambui (Guest) on June 29, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ahmed (Guest) on May 22, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Victor Mwalimu (Guest) on May 10, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on April 19, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on March 14, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on February 27, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on December 22, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on December 14, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Alice Mwikali (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Muthoni (Guest) on November 18, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Charles Mboje (Guest) on November 10, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on October 10, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on October 9, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Masika (Guest) on October 5, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mrema (Guest) on October 5, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Jackson Makori (Guest) on September 28, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Maida (Guest) on September 23, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nancy Kawawa (Guest) on August 20, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on August 8, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on July 5, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on June 29, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on June 21, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Aziza (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Wairimu (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Wande (Guest) on June 10, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on May 29, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 9, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Charles Mrope (Guest) on May 3, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on April 22, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jane Malecela (Guest) on April 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 17, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sultan (Guest) on March 31, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Yahya (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kenneth Murithi (Guest) on February 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on January 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Neema (Guest) on December 30, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Janet Sumari (Guest) on December 10, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Related Posts

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More