Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Wafula (Guest) on June 10, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on June 2, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on May 26, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on May 7, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 3, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on April 25, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Farida (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on March 16, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on February 28, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on February 25, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on February 12, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Leila (Guest) on February 4, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 11, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on December 24, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Asha (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 19, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on November 3, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joseph Mallya (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ali (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Kendi (Guest) on October 23, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on October 11, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on September 29, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on September 29, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Sharifa (Guest) on September 24, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Daniel Obura (Guest) on September 22, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on September 17, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on August 29, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samson Mahiga (Guest) on August 16, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Sumari (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jane Muthui (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Njoroge (Guest) on August 2, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on July 24, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on July 14, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Zainab (Guest) on July 11, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Sumari (Guest) on July 4, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edith Cherotich (Guest) on March 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on March 26, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Sharifa (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Stephen Malecela (Guest) on March 15, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on March 4, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kahina (Guest) on March 3, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jane Malecela (Guest) on February 21, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

James Kawawa (Guest) on February 18, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nassor (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Vincent Mwangangi (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on February 1, 2023

🀣πŸ”₯😊

Henry Mollel (Guest) on January 26, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Nancy Komba (Guest) on January 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on November 27, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Abubakar (Guest) on November 6, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 13, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on September 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Juma (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Bakari (Guest) on September 1, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 10, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Samson Tibaijuka (Guest) on August 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zuhura (Guest) on July 19, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Related Posts

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More