Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa
wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.

03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia
Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.
Yaani wa kwanza na wa pili.

04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu
wote hawana raha.

05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa
shule wanakuwa waganga wa kienyeji,
wote hapo juu watamtafuta huyu, pale
mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kabura (Guest) on February 14, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

John Lissu (Guest) on February 1, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on January 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sarah Mbise (Guest) on January 5, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on December 20, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on December 10, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on November 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on November 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

David Musyoka (Guest) on October 19, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on September 15, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Philip Nyaga (Guest) on September 13, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Sumari (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on August 14, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Patrick Kidata (Guest) on August 13, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Thomas Mtaki (Guest) on July 12, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Shani (Guest) on June 11, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on June 8, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mligo (Guest) on June 7, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on May 19, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on April 10, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Faith Kariuki (Guest) on April 9, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 31, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on March 11, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on March 7, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nancy Akumu (Guest) on March 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on February 17, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Baridi (Guest) on January 29, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on December 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Josephine Nekesa (Guest) on November 6, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on October 29, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on October 21, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on September 18, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on September 17, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 2, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on July 29, 2018

😊🀣πŸ”₯

Moses Mwita (Guest) on July 10, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Waithera (Guest) on July 5, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Rose Lowassa (Guest) on July 1, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on June 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Ibrahim (Guest) on April 13, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Neema (Guest) on April 4, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Khalifa (Guest) on March 14, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Wairimu (Guest) on March 4, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sarah Mbise (Guest) on February 5, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on January 26, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Aziza (Guest) on January 13, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on January 9, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Raha (Guest) on January 3, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on December 31, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on December 13, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Joseph Mallya (Guest) on December 9, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on November 8, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fikiri (Guest) on October 1, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Faith Kariuki (Guest) on August 21, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More