Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on December 1, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on November 8, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nasra (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Charles Wafula (Guest) on September 30, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on September 27, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on September 21, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on September 5, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Thomas Mtaki (Guest) on August 27, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Joseph Njoroge (Guest) on August 26, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rahma (Guest) on August 24, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Daniel Obura (Guest) on August 6, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jane Malecela (Guest) on May 13, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alex Nakitare (Guest) on April 24, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on April 20, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on April 19, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on April 9, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Michael Mboya (Guest) on April 3, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on March 12, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Peter Mugendi (Guest) on March 8, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on March 4, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on March 3, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on February 27, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Kiwanga (Guest) on February 17, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mrope (Guest) on February 13, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Issa (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Latifa (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

James Malima (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Grace Mushi (Guest) on November 26, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on November 24, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Kassim (Guest) on November 2, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on October 2, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Edwin Ndambuki (Guest) on August 29, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Zubeida (Guest) on July 28, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on July 27, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nchi (Guest) on July 16, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on June 28, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mtumwa (Guest) on May 17, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Mwikali (Guest) on April 7, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Henry Sokoine (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on March 28, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Diana Mumbua (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Hawa (Guest) on March 4, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

John Kamande (Guest) on February 21, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nuru (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

George Mallya (Guest) on February 18, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on February 13, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on February 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on January 26, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Kimario (Guest) on January 20, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Richard Mulwa (Guest) on January 11, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Janet Sumaye (Guest) on January 2, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on December 23, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Amir (Guest) on December 21, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Majaliwa (Guest) on December 21, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on December 20, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 2, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Agnes Lowassa (Guest) on November 27, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More