Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanakhamis (Guest) on July 31, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Mrope (Guest) on July 10, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Linda Karimi (Guest) on June 28, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Baraka (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on June 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Mushi (Guest) on June 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on May 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on May 24, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 11, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 31, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mazrui (Guest) on March 25, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

David Kawawa (Guest) on March 5, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on February 17, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on February 6, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Mtangi (Guest) on January 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mwanaidha (Guest) on January 2, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on December 31, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on December 19, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Khatib (Guest) on December 15, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 25, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on November 22, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on October 24, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Zakia (Guest) on September 23, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Mushi (Guest) on September 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 14, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwagonda (Guest) on September 4, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Salima (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mwikali (Guest) on August 2, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on July 5, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on June 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Tenga (Guest) on June 7, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Mwalimu (Guest) on June 2, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Umi (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Miriam Mchome (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 21, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on April 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on April 11, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Nasra (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Azima (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fatuma (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mahiga (Guest) on March 9, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on January 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on January 24, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on January 19, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Yusra (Guest) on January 6, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 1, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on November 26, 2017

😊🀣πŸ”₯

Saidi (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Lowassa (Guest) on October 27, 2017

Asante Ackyshine

Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on September 25, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on September 2, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on August 28, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rose Mwinuka (Guest) on August 16, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Hawa (Guest) on May 22, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More