Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanakhamis (Guest) on July 31, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Mrope (Guest) on July 10, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Linda Karimi (Guest) on June 28, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Baraka (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on June 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Mushi (Guest) on June 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on May 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on May 24, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 11, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 31, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mazrui (Guest) on March 25, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

David Kawawa (Guest) on March 5, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on February 17, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on February 6, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Mtangi (Guest) on January 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mwanaidha (Guest) on January 2, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on December 31, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on December 19, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Khatib (Guest) on December 15, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 25, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on November 22, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on October 24, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Zakia (Guest) on September 23, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Mushi (Guest) on September 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 14, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwagonda (Guest) on September 4, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Salima (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mwikali (Guest) on August 2, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on July 5, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on June 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Tenga (Guest) on June 7, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Mwalimu (Guest) on June 2, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Umi (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Miriam Mchome (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 21, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on April 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on April 11, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Nasra (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Azima (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fatuma (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mahiga (Guest) on March 9, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on January 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on January 24, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on January 19, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Yusra (Guest) on January 6, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 1, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on November 26, 2017

😊🀣πŸ”₯

Saidi (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Lowassa (Guest) on October 27, 2017

Asante Ackyshine

Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on September 25, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on September 2, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on August 28, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rose Mwinuka (Guest) on August 16, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Hawa (Guest) on May 22, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More