Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Mahiga (Guest) on May 21, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Neema (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on March 10, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on February 21, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on February 4, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mary Sokoine (Guest) on December 3, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on November 30, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 10, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Kahina (Guest) on October 23, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Amina (Guest) on October 7, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

George Ndungu (Guest) on September 28, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shamim (Guest) on September 26, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mchuma (Guest) on September 23, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mary Mrope (Guest) on September 22, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Sofia (Guest) on September 22, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Zakaria (Guest) on September 19, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Khamis (Guest) on August 28, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Jebet (Guest) on August 26, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Samson Mahiga (Guest) on August 26, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Maida (Guest) on August 3, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mashaka (Guest) on August 2, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Nchi (Guest) on July 11, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on June 22, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Sokoine (Guest) on June 10, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on May 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on April 28, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Aziza (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Kahina (Guest) on March 14, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on March 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on March 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on March 1, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on February 22, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Anna Mchome (Guest) on February 10, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Kijakazi (Guest) on February 3, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on January 21, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on January 13, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on January 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on January 4, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 28, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on December 18, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mary Kidata (Guest) on December 9, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on October 26, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Baridi (Guest) on October 9, 2017

Asante Ackyshine

Zulekha (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Njoroge (Guest) on July 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 15, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on July 2, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Malima (Guest) on June 29, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 23, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on June 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mjaka (Guest) on June 6, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on May 24, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More