Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?

Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.

Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Minja (Guest) on January 11, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on January 10, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Sekela (Guest) on December 15, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Mduma (Guest) on December 9, 2019

😊🀣πŸ”₯

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumaye (Guest) on October 12, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Victor Kamau (Guest) on September 28, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on August 28, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on August 27, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on August 18, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on August 9, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Simon Kiprono (Guest) on July 5, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Simon Kiprono (Guest) on June 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on May 26, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on May 18, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mbise (Guest) on May 14, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Hassan (Guest) on May 5, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on April 21, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on April 17, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Maneno (Guest) on April 6, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Lydia Mutheu (Guest) on March 29, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Salma (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ann Wambui (Guest) on February 22, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on January 27, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Elizabeth Malima (Guest) on January 16, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Miriam Mchome (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on December 30, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on December 26, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Charles Mchome (Guest) on December 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jabir (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Malisa (Guest) on December 4, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on November 9, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Farida (Guest) on November 7, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Victor Kamau (Guest) on October 18, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Violet Mumo (Guest) on October 15, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on October 7, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Wilson Ombati (Guest) on September 29, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on September 26, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on September 3, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Janet Wambura (Guest) on July 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mzee (Guest) on June 28, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Sumari (Guest) on June 23, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on April 15, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam (Guest) on March 8, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Ruth Kibona (Guest) on March 8, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on February 6, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Zubeida (Guest) on February 2, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Robert Okello (Guest) on January 23, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Njuguna (Guest) on December 28, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwajuma (Guest) on December 10, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on December 8, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Shamsa (Guest) on November 25, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mrope (Guest) on October 31, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on October 29, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Malisa (Guest) on October 28, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Frank Macha (Guest) on October 24, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on August 9, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on August 8, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More