Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Mwikali (Guest) on February 5, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Kidata (Guest) on November 28, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nassor (Guest) on November 13, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mohamed (Guest) on October 21, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Nkya (Guest) on September 29, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on September 19, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on August 16, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Philip Nyaga (Guest) on July 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Stephen Kikwete (Guest) on June 24, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on June 12, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Margaret Mahiga (Guest) on June 3, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on May 19, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mustafa (Guest) on April 26, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on April 20, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on February 17, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on January 9, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on November 24, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on October 30, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Susan Wangari (Guest) on October 19, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Kamande (Guest) on October 13, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Wanjiru (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on September 29, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Kamau (Guest) on September 13, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on September 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Mduma (Guest) on September 4, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on September 1, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on August 27, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on August 27, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nora Kidata (Guest) on August 10, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Irene Akoth (Guest) on August 5, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on June 13, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Diana Mumbua (Guest) on June 2, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on April 25, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Raphael Okoth (Guest) on April 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Sarafina (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nancy Akumu (Guest) on March 6, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on February 29, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Salma (Guest) on February 9, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Benjamin Masanja (Guest) on February 8, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on January 10, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Baridi (Guest) on December 26, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Paul Ndomba (Guest) on December 26, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on December 21, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on December 18, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on December 9, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edward Lowassa (Guest) on December 1, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Wambura (Guest) on October 21, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on October 17, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on October 15, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jamal (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Related Posts

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More