Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?………… Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?……….. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?……………… Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?……. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?……… Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?…….. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?…… Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?……… Takosa guo ya sikukuu…
(10) Kila ndege ?………….. …Hutua Airport
(11) Bandu bandu ?….. …….Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?… Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?….Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?………. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?…….. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?…. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? …….. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? …………..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?…….. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?….Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?…….. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? ……….Taenda Chadema
(23) Bendera ?……………. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?……. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?………. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? …….. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 28, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Mchome (Guest) on April 21, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Latifa (Guest) on March 20, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Charles Mboje (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Mwikali (Guest) on February 15, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 14, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Leila (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sarah Mbise (Guest) on January 14, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on January 8, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Janet Sumari (Guest) on December 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Mtangi (Guest) on December 10, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Komba (Guest) on November 6, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on November 1, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on October 27, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanahawa (Guest) on October 24, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sarah Achieng (Guest) on October 15, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on September 17, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Tabitha Okumu (Guest) on September 9, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Salima (Guest) on August 26, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on August 20, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on July 16, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Moses Mwita (Guest) on July 16, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nora Lowassa (Guest) on July 2, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on June 20, 2021

🀣πŸ”₯😊

Jacob Kiplangat (Guest) on June 9, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Emily Chepngeno (Guest) on June 7, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on April 23, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Alice Mwikali (Guest) on April 8, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on March 16, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kawawa (Guest) on March 2, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on February 19, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Edward Chepkoech (Guest) on February 14, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwinyi (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Asha (Guest) on December 20, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on December 1, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

John Mwangi (Guest) on November 16, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rose Kiwanga (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Kenneth Murithi (Guest) on November 11, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Maulid (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Malisa (Guest) on October 8, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Selemani (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Kenneth Murithi (Guest) on September 30, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on August 9, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on August 9, 2020

😊🀣πŸ”₯

Rahim (Guest) on August 2, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Kamande (Guest) on July 31, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on July 21, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on July 1, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on May 19, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on May 3, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Waithera (Guest) on March 27, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Andrew Mchome (Guest) on February 29, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kawawa (Guest) on December 14, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 8, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 1, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More