Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Featured Image

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani alihisi sio wa kwake, akaondoka kwenda kazini aliporudi akakuta house boy amekufa, usiniulize alikufaje. Mie mambo ya umbea sipendi niliondoka zangu mapemaaa!!πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

😝😝😝😝😝😝

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Mushi (Guest) on January 12, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 9, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Kiza (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Stephen Kangethe (Guest) on January 4, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on December 16, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Robert Ndunguru (Guest) on November 24, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Hekima (Guest) on November 19, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Samson Mahiga (Guest) on November 4, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on September 23, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mashaka (Guest) on July 28, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Asha (Guest) on July 26, 2021

Asante Ackyshine

Yusra (Guest) on July 22, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Juma (Guest) on May 17, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rashid (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Alex Nyamweya (Guest) on April 22, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Kahina (Guest) on April 6, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Khamis (Guest) on March 29, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Umi (Guest) on March 25, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nora Lowassa (Guest) on March 7, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mzee (Guest) on March 4, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Violet Mumo (Guest) on February 28, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on December 17, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kiza (Guest) on November 23, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Zubeida (Guest) on November 19, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Lissu (Guest) on November 2, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Michael Onyango (Guest) on October 24, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwakisu (Guest) on October 12, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Mushi (Guest) on September 30, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jacob Kiplangat (Guest) on September 26, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on August 10, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Esther Cheruiyot (Guest) on July 27, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 28, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mwakisu (Guest) on June 24, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Nassar (Guest) on June 20, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Paul Ndomba (Guest) on June 19, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on June 18, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Zulekha (Guest) on June 7, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Charles Mrope (Guest) on June 5, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Benjamin Masanja (Guest) on May 26, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Emily Chepngeno (Guest) on May 3, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Ahmed (Guest) on April 29, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Ann Wambui (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jane Malecela (Guest) on April 16, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Selemani (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

John Malisa (Guest) on March 12, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Neema (Guest) on March 9, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Margaret Anyango (Guest) on February 27, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kheri (Guest) on February 13, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 28, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on January 8, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Charles Mrope (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Miriam Mchome (Guest) on December 31, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hassan (Guest) on December 29, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Frank Sokoine (Guest) on November 14, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Anthony Kariuki (Guest) on October 17, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on October 13, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More