Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on December 20, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on December 20, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on December 5, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Sofia (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on November 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Faith Kariuki (Guest) on October 26, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 24, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Edward Lowassa (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mwambui (Guest) on October 2, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on September 25, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 10, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mhina (Guest) on August 21, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwanajuma (Guest) on August 18, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Chiku (Guest) on August 14, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on July 18, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Baridi (Guest) on July 5, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jackson Makori (Guest) on July 4, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Sarafina (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sultan (Guest) on May 15, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Mussa (Guest) on May 9, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Malima (Guest) on April 9, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on March 31, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on March 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on March 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Diana Mumbua (Guest) on March 1, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on February 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on February 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on February 12, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 10, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Akinyi (Guest) on January 15, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Husna (Guest) on January 7, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Agnes Njeri (Guest) on January 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on November 17, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 23, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on October 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on October 10, 2020

😊🀣πŸ”₯

Anna Mahiga (Guest) on October 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on October 1, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on October 1, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Issack (Guest) on October 1, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Irene Makena (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Amukowa (Guest) on September 16, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on September 10, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Charles Mchome (Guest) on September 3, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Lissu (Guest) on July 24, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mwajabu (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

David Ochieng (Guest) on June 28, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Salum (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 28, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kitine (Guest) on March 18, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Zakia (Guest) on March 10, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on March 1, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More