Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on June 10, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Masika (Guest) on May 26, 2022

🤣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on April 25, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! 🤣😂

David Musyoka (Guest) on April 11, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂

Abdullah (Guest) on April 10, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Ruth Wanjiku (Guest) on April 5, 2022

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Andrew Mahiga (Guest) on March 30, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂

Stephen Mushi (Guest) on March 14, 2022

👏🤣😆😂

Joy Wacera (Guest) on March 3, 2022

😆😂😊

Victor Malima (Guest) on March 2, 2022

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Grace Mushi (Guest) on February 16, 2022

Hii imenichekesha sana! 😄😂

Rose Waithera (Guest) on February 8, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Elijah Mutua (Guest) on January 18, 2022

😂🤣

Neema (Guest) on November 22, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Grace Minja (Guest) on November 15, 2021

🤣 Sikutarajia hiyo!

Simon Kiprono (Guest) on November 14, 2021

😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Charles Wafula (Guest) on October 11, 2021

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Baraka (Guest) on October 10, 2021

😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 4, 2021

Hii ni joke ya maana sana! 😂👌

Emily Chepngeno (Guest) on September 27, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥

Omar (Guest) on September 6, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Victor Kimario (Guest) on August 26, 2021

😂👏😅🤣

Sarah Achieng (Guest) on August 21, 2021

😊😂🤣

John Mwangi (Guest) on August 10, 2021

😂👌

Margaret Mahiga (Guest) on July 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂

Nancy Kawawa (Guest) on June 24, 2021

😂😂🤣

Grace Mushi (Guest) on June 15, 2021

😂 Ninaihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on May 21, 2021

Napenda jokes zenu! 😊😅

Esther Nyambura (Guest) on May 10, 2021

😂👌😆😊

Kazija (Guest) on April 26, 2021

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Robert Ndunguru (Guest) on April 17, 2021

😄 Umenishika vizuri!

Jabir (Guest) on March 15, 2021

🤣 Hii imenigonga vizuri!

Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2021

😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 17, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂

Francis Njeru (Guest) on January 27, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! 😃

Rose Lowassa (Guest) on December 9, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Grace Minja (Guest) on December 2, 2020

Umetisha! 👌😂

Chris Okello (Guest) on November 8, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! 😄

Joyce Mussa (Guest) on October 28, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Aziza (Guest) on October 20, 2020

😆 Nacheka hadi chini!

Lucy Mushi (Guest) on August 30, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆

Habiba (Guest) on August 19, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂

Lucy Mahiga (Guest) on August 11, 2020

🤣😭😆

Agnes Njeri (Guest) on July 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂

Mariam Kawawa (Guest) on June 26, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊

Stephen Amollo (Guest) on June 22, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Brian Karanja (Guest) on June 11, 2020

😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2020

😂😂

Philip Nyaga (Guest) on May 5, 2020

😆😅😂

Baraka (Guest) on April 14, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Zakia (Guest) on April 3, 2020

😆 Naihifadhi hii!

Margaret Anyango (Guest) on March 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Mchuma (Guest) on March 15, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄

Henry Sokoine (Guest) on February 1, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆

Edith Cherotich (Guest) on November 13, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Jafari (Guest) on November 12, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Mercy Atieno (Guest) on November 6, 2019

Hii imenikuna! 😆😊

Fadhila (Guest) on October 23, 2019

🤣 Hii imewaka moto!

Kenneth Murithi (Guest) on October 13, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Related Posts

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐶 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More