Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!





Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Adhiambo (Guest) on December 8, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Kawawa (Guest) on November 21, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zawadi (Guest) on November 13, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on November 3, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

John Malisa (Guest) on October 6, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Khalifa (Guest) on September 14, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on September 7, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jamila (Guest) on August 14, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on July 26, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on July 6, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

James Malima (Guest) on June 1, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Sokoine (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on May 8, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 3, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Kawawa (Guest) on April 17, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mwajabu (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwanaidha (Guest) on March 23, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hassan (Guest) on March 16, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on March 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Athumani (Guest) on March 10, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Baraka (Guest) on January 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Edward Lowassa (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kawawa (Guest) on December 21, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 15, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on November 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on November 18, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahma (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Janet Mwikali (Guest) on November 6, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine (Guest) on November 2, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on October 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on October 10, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hashim (Guest) on October 9, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jackson Makori (Guest) on August 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on August 5, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elijah Mutua (Guest) on July 14, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Agnes Sumaye (Guest) on July 2, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Isaac Kiptoo (Guest) on June 25, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

James Malima (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on May 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on April 23, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Asha (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mwafirika (Guest) on April 6, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Chum (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Mwinuka (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Malela (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Mushi (Guest) on January 20, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Husna (Guest) on January 15, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sharifa (Guest) on January 8, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Akumu (Guest) on December 29, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 30, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on October 3, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on September 2, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Maulid (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zawadi (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ann Wambui (Guest) on August 1, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More