Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

shayumastersr (User) on April 27, 2025

Hahaha hii kali canA

Guest (Guest) on October 14, 2025

jamaa kaingia mskitini akauliza jamani nani mwislam apa wot kmy akachukua moja akatokanae njenae akamwambia nataka unichinjie mbuzi yule shehe akamchinjia shehe akasema mimi naweza kuchinja ila kuchuna sjui sika upanga wako katafu mule shehe mwingine anajua kuchuna jamaa akalud mskitini naule upanga ukiwa unatililika dam akasema jamani nauliza tena nani mwislam watu walivona vile wakajua mwenzao atakua amechinjwa imam akasema bwana yesu asifiwe wote milele amina ABU AP

Ibrahim (Guest) on July 23, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Wafula (Guest) on July 18, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 10, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwalimu (Guest) on May 1, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Salum (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

John Kamande (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mary Sokoine (Guest) on March 10, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Guest (Guest) on October 14, 2025

"Β₯""Β₯"""Β₯"
msione niko kimya
niko mbinguni "naangalia hidadi yawatu
watakao ufikia mwaka 2026 lakini wewe unaesoma hapa jinalako silioni sasa napatashida kwel kulitafuta
"najalibu kumwambia bwana IZRAERi akuandike amesema anataka rushwa
kama una hata /=10000 nitumie akuandike chapu sivyo utaishia mwaka 2025

0681305278 ABU APA

Christopher Oloo (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Martin Otieno (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Edward Chepkoech (Guest) on January 17, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on January 5, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on December 18, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 9, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

David Musyoka (Guest) on October 26, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baraka (Guest) on October 15, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mary Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Arifa (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Malecela (Guest) on September 20, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Josephine Nekesa (Guest) on September 1, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 1, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Mary Kendi (Guest) on August 13, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on August 11, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on July 28, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on July 21, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanais (Guest) on July 16, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Michael Mboya (Guest) on July 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Victor Malima (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 13, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on April 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 28, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 25, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hassan (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Martin Otieno (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Ndunguru (Guest) on March 19, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on February 28, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on February 10, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Mahiga (Guest) on January 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Frank Macha (Guest) on December 10, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on November 12, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on October 1, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 7, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Sarafina (Guest) on August 30, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Malisa (Guest) on August 10, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 30, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on July 13, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on July 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Susan Wangari (Guest) on June 23, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on June 22, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Fikiri (Guest) on June 12, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

James Malima (Guest) on April 3, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on March 15, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on February 26, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More