Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Mushi (Guest) on February 22, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Charles Mchome (Guest) on February 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on December 29, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 8, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on September 22, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on September 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

George Tenga (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on August 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on August 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on August 12, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edward Chepkoech (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Issack (Guest) on July 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Agnes Sumaye (Guest) on June 24, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Tabu (Guest) on June 17, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Were (Guest) on June 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 11, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Salma (Guest) on May 18, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on April 3, 2021

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on March 29, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on March 3, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nahida (Guest) on February 24, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Komba (Guest) on January 30, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on January 1, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Tabu (Guest) on December 19, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 25, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on October 24, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Salum (Guest) on September 24, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 4, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Monica Adhiambo (Guest) on August 30, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 8, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on May 25, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Michael Mboya (Guest) on May 12, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on May 10, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mwikali (Guest) on April 11, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on March 25, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on March 19, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Farida (Guest) on March 3, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Fadhila (Guest) on February 28, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on January 15, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on January 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on December 24, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on December 3, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More