Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA IMANI

Featured Image

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;

Kwani ndiwe uliyefundisha hayo,

wala hudanganyiki,

wala hudanganyi. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Akech (Guest) on October 25, 2017

Sifa kwa Bwana!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 19, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Anna Sumari (Guest) on September 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Mary Mrope (Guest) on August 19, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Sarah Karani (Guest) on July 5, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 8, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Lucy Kimotho (Guest) on March 6, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mtei (Guest) on September 30, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Fredrick Mutiso (Guest) on August 23, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Nancy Akumu (Guest) on June 20, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Francis Njeru (Guest) on February 24, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Minja (Guest) on February 20, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Jane Muthui (Guest) on December 9, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Nora Kidata (Guest) on August 31, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Irene Makena (Guest) on August 24, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Peter Mbise (Guest) on July 25, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Isaac Kiptoo (Guest) on July 25, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Charles Mrope (Guest) on July 23, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Esther Nyambura (Guest) on June 25, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Lucy Wangui (Guest) on May 9, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Anna Malela (Guest) on May 6, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Related Posts

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More