Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Featured Image

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaokusihi, tufurahie hali njema ya hewa na mvua tunayoitamani na kuhitaji. Tutumie daima vipawa vya wema wako kwa ajili ya utukufu wa jina lako, na kwa ajili ya wokovu watu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana watu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, daima na milele. Amina. `

`Baba Yetu................... Salama Maria............ Atukuzwe Baba........... `

K: `Bikra Maria mama wa msaada wa daima.... W: Utuombee na Utusaidie`

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

David Ochieng (Guest) on July 26, 2017

Rehema zake hudumu milele

Philip Nyaga (Guest) on July 15, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

John Lissu (Guest) on April 21, 2017

Amina

Elizabeth Mrope (Guest) on April 3, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Mboje (Guest) on March 26, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Grace Wairimu (Guest) on February 26, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Rose Kiwanga (Guest) on January 20, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Kawawa (Guest) on December 31, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Margaret Anyango (Guest) on October 2, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Jane Muthui (Guest) on September 29, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Janet Mwikali (Guest) on July 12, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Rose Amukowa (Guest) on June 26, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 26, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Diana Mallya (Guest) on June 3, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Nora Kidata (Guest) on August 30, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

John Lissu (Guest) on August 26, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Elizabeth Mrema (Guest) on July 12, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 29, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Related Posts

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)