Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Featured Image

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaokusihi, tufurahie hali njema ya hewa na mvua tunayoitamani na kuhitaji. Tutumie daima vipawa vya wema wako kwa ajili ya utukufu wa jina lako, na kwa ajili ya wokovu watu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana watu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, daima na milele. Amina. `

`Baba Yetu................... Salama Maria............ Atukuzwe Baba........... `

K: `Bikra Maria mama wa msaada wa daima.... W: Utuombee na Utusaidie`

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

David Ochieng (Guest) on July 26, 2017

Rehema zake hudumu milele

Philip Nyaga (Guest) on July 15, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

John Lissu (Guest) on April 21, 2017

Amina

Elizabeth Mrope (Guest) on April 3, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Mboje (Guest) on March 26, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Grace Wairimu (Guest) on February 26, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Rose Kiwanga (Guest) on January 20, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Kawawa (Guest) on December 31, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Margaret Anyango (Guest) on October 2, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Jane Muthui (Guest) on September 29, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Janet Mwikali (Guest) on July 12, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Rose Amukowa (Guest) on June 26, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 26, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Diana Mallya (Guest) on June 3, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Nora Kidata (Guest) on August 30, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

John Lissu (Guest) on August 26, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Elizabeth Mrema (Guest) on July 12, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 29, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Related Posts

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More