Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Featured Image

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaokusihi, tufurahie hali njema ya hewa na mvua tunayoitamani na kuhitaji. Tutumie daima vipawa vya wema wako kwa ajili ya utukufu wa jina lako, na kwa ajili ya wokovu watu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana watu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, daima na milele. Amina. `

`Baba Yetu................... Salama Maria............ Atukuzwe Baba........... `

K: `Bikra Maria mama wa msaada wa daima.... W: Utuombee na Utusaidie`

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

David Ochieng (Guest) on July 26, 2017

Rehema zake hudumu milele

Philip Nyaga (Guest) on July 15, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

John Lissu (Guest) on April 21, 2017

Amina

Elizabeth Mrope (Guest) on April 3, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Mboje (Guest) on March 26, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Grace Wairimu (Guest) on February 26, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Rose Kiwanga (Guest) on January 20, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Kawawa (Guest) on December 31, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Margaret Anyango (Guest) on October 2, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Jane Muthui (Guest) on September 29, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Janet Mwikali (Guest) on July 12, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Rose Amukowa (Guest) on June 26, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 26, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Diana Mallya (Guest) on June 3, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Nora Kidata (Guest) on August 30, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

John Lissu (Guest) on August 26, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Elizabeth Mrema (Guest) on July 12, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 29, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Related Posts

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More