Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala fupi ya Asubuhi

Featured Image

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina.

Ee Utatu Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, nasadiki kuwa upo hapa na mahali pote. Ee Mungu wangu, umeniumba, umenikomboa, umenifanya mkristo, umenizidishia neema zako hapa duniani, umenitayarishia makao yangu mbinguni, umenijalia na siku hii nikutumikie. Ee Mungu wangu! Nakuabudu, nakushukuru, nakuomba toba, nakupenda! Ee Mungu wangu, nakutolea roho yangu, na mawazo, na maneno, na kazi, na furaha, na mateso yangu: uyapokee unipe neema yako nisikutende leo dhambi!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Njeri (Guest) on February 25, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Irene Makena (Guest) on December 11, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Mduma (Guest) on November 20, 2017

Amina

Mary Kidata (Guest) on June 2, 2017

Mungu akubariki!

Janet Sumaye (Guest) on May 31, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Patrick Mutua (Guest) on March 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Chris Okello (Guest) on December 27, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Faith Kariuki (Guest) on December 13, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Frank Sokoine (Guest) on October 9, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Samuel Omondi (Guest) on June 26, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Sokoine (Guest) on March 27, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Agnes Njeri (Guest) on March 24, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

David Musyoka (Guest) on February 2, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Mary Njeri (Guest) on January 17, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Carol Nyakio (Guest) on November 28, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jacob Kiplangat (Guest) on November 18, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Edwin Ndambuki (Guest) on November 11, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Kendi (Guest) on October 4, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

David Sokoine (Guest) on October 3, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Diana Mallya (Guest) on August 2, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Chris Okello (Guest) on July 13, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Irene Akoth (Guest) on May 16, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More