Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Majitoleo ya Asubuhi

Featured Image

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Nilinde tena siku hii, Niache dhambi nikutii, Naomba sana Baba wee, Baraka yako nipokee, Bikira safi ee Maria, Nisipotee unisimamie, Mlinzi Mkuu Malaika wee, Kwa Mungu wetu niombee, Nitake nitende mema tu, Na mwisho nije kwake juu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on November 23, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Anna Mchome (Guest) on September 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Janet Mwikali (Guest) on September 8, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Njuguna (Guest) on July 3, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Edward Chepkoech (Guest) on May 13, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Kevin Maina (Guest) on December 24, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Benjamin Kibicho (Guest) on November 7, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

David Kawawa (Guest) on September 10, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Peter Mugendi (Guest) on September 10, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Rose Kiwanga (Guest) on July 5, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Agnes Sumaye (Guest) on June 11, 2016

Sifa kwa Bwana!

Grace Mligo (Guest) on May 16, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Sarah Karani (Guest) on March 21, 2016

Endelea kuwa na imani!

Robert Ndunguru (Guest) on March 20, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Samson Tibaijuka (Guest) on March 4, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Peter Tibaijuka (Guest) on August 29, 2015

Rehema hushinda hukumu

Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Elizabeth Mrema (Guest) on July 22, 2015

Nakuombea πŸ™

Mary Sokoine (Guest) on July 2, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Charles Mrope (Guest) on June 1, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Sekela (Guest) on April 27, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

Violet Mumo (Guest) on April 7, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Related Posts

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More