Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.
Kuweka nia njema
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More
Sala kwa Mtakatifu Yosefu
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More
Malkia wa Mbingu
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More
Sala ya Asubuhi ya kila siku
SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More
SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More
SALA YA JIONI
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETUβ¦β¦β¦β¦β...
Read More
SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More
SALA YA KUOMBEA FAMILIA
Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI
Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More
David Nyerere (Guest) on July 23, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Elizabeth Malima (Guest) on July 20, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2017
Imani inaweza kusogeza milima
Diana Mallya (Guest) on February 6, 2017
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Patrick Akech (Guest) on February 4, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2017
ππ Neema za Mungu zisikose
Mary Mrope (Guest) on December 3, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Wilson Ombati (Guest) on October 9, 2016
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Jane Muthoni (Guest) on September 2, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Anna Sumari (Guest) on August 21, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Esther Cheruiyot (Guest) on December 22, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Hellen Nduta (Guest) on December 21, 2015
Rehema hushinda hukumu
Jane Muthui (Guest) on December 11, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Victor Kimario (Guest) on November 12, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Stephen Amollo (Guest) on October 12, 2015
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Samson Mahiga (Guest) on October 2, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Daniel Obura (Guest) on September 8, 2015
ππ Mungu wetu asifiwe
Jane Malecela (Guest) on August 18, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Victor Kimario (Guest) on June 12, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Peter Otieno (Guest) on April 27, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Michael Mboya (Guest) on April 6, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida