Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kuweka nia njema

Featured Image

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Nyerere (Guest) on July 23, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Elizabeth Malima (Guest) on July 20, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Diana Mallya (Guest) on February 6, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Patrick Akech (Guest) on February 4, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2017

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Mrope (Guest) on December 3, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Wilson Ombati (Guest) on October 9, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Jane Muthoni (Guest) on September 2, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Anna Sumari (Guest) on August 21, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Esther Cheruiyot (Guest) on December 22, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Hellen Nduta (Guest) on December 21, 2015

Rehema hushinda hukumu

Jane Muthui (Guest) on December 11, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Victor Kimario (Guest) on November 12, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Stephen Amollo (Guest) on October 12, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Samson Mahiga (Guest) on October 2, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Daniel Obura (Guest) on September 8, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Jane Malecela (Guest) on August 18, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Victor Kimario (Guest) on June 12, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Peter Otieno (Guest) on April 27, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Mboya (Guest) on April 6, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Related Posts

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More