Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala kwa wenye kuzimia

Featured Image

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu, na kwa ajili ya Mama Yako asiye na doa, uwatakase kwa damu yako, watu wote wenye dhambi wanaokufa sasa, na watakaokufa leo.
Moyo wa Yesu uliozomia, uwahurumie watu wanaokufa X3.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Kibicho (Guest) on June 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Lucy Mushi (Guest) on February 14, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

George Tenga (Guest) on May 23, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Josephine Nduta (Guest) on May 13, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Kenneth Murithi (Guest) on May 10, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Mwanaidi (Guest) on August 14, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Frank Macha (Guest) on July 25, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Jackson Makori (Guest) on July 24, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Malima (Guest) on July 22, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Ruth Wanjiku (Guest) on June 17, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Frank Sokoine (Guest) on May 31, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Emily Chepngeno (Guest) on May 31, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Betty Kimaro (Guest) on April 30, 2016

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Nora Lowassa (Guest) on March 19, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 15, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Mary Kidata (Guest) on December 20, 2015

Sifa kwa Bwana!

Moses Mwita (Guest) on October 5, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Lucy Kimotho (Guest) on October 5, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Patrick Akech (Guest) on September 8, 2015

Rehema hushinda hukumu

Elizabeth Mtei (Guest) on July 8, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Jane Muthui (Guest) on May 1, 2015

Dumu katika Bwana.

Nancy Komba (Guest) on April 21, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More