Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala kwa wenye kuzimia

Featured Image

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu, na kwa ajili ya Mama Yako asiye na doa, uwatakase kwa damu yako, watu wote wenye dhambi wanaokufa sasa, na watakaokufa leo.
Moyo wa Yesu uliozomia, uwahurumie watu wanaokufa X3.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Kibicho (Guest) on June 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Lucy Mushi (Guest) on February 14, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

George Tenga (Guest) on May 23, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Josephine Nduta (Guest) on May 13, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Kenneth Murithi (Guest) on May 10, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Mwanaidi (Guest) on August 14, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Frank Macha (Guest) on July 25, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Jackson Makori (Guest) on July 24, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Malima (Guest) on July 22, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Ruth Wanjiku (Guest) on June 17, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Frank Sokoine (Guest) on May 31, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Emily Chepngeno (Guest) on May 31, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Betty Kimaro (Guest) on April 30, 2016

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Nora Lowassa (Guest) on March 19, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 15, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Mary Kidata (Guest) on December 20, 2015

Sifa kwa Bwana!

Moses Mwita (Guest) on October 5, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Lucy Kimotho (Guest) on October 5, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Patrick Akech (Guest) on September 8, 2015

Rehema hushinda hukumu

Elizabeth Mtei (Guest) on July 8, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Jane Muthui (Guest) on May 1, 2015

Dumu katika Bwana.

Nancy Komba (Guest) on April 21, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)