Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Featured Image

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa kutoa misaada/ kwa wanaokukimbilia katika matatizo yao mazito./ Pia ni mwombezi wa waliopondeka moyo./

Mimi ni mmoja wa hao./ Nakujia na moyo uliojaa shida na matatizo./ Nakusihi kwa moyo wote/ unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu/ kufikia utatuzi unaofaa kadiri ya mapenzi ya Mungu./ Maisha yangu yamejaa misalaba,/ siku kwa siku matatizo hayapungui./ Moyo wangu umekuwa bahari ya siki chungu sana./ Mapito yangu nayaona yamejaa miiba mikali./ Roho yangu imezama katika dimbwi la machozi na kite./ Nafsi yangu imezingirwa na giza nene./ Ghasia na kukatishwa tamaa ya kuishi/ hunyemelea roho yangu./ Maongozi ya Mungu na imani naviona vinanitoka kidogo kwa kidogo./

Nikielemewa na mawazo kama hayo/ najikuta sina nguvu za kuishi,/ na maisha kwangu ni msalaba mzito/ ninaouogopa hata kuunyakua./ Wewe unaweza kabisa kunitoa katika balaa hili./ Sitaacha kukusihi/ hadi hapo utakaponisaidia/ au kunijulisha mapenzi ya Mungu kwangu./ Natangulia kutoa shukrani kwa jibu liwalo lote.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Sumari (Guest) on September 20, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Carol Nyakio (Guest) on September 1, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Andrew Mahiga (Guest) on May 11, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Margaret Mahiga (Guest) on February 8, 2017

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Rose Waithera (Guest) on January 17, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Philip Nyaga (Guest) on January 12, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

David Sokoine (Guest) on October 28, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Linda Karimi (Guest) on September 28, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Mariam Kawawa (Guest) on September 16, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Joyce Aoko (Guest) on August 25, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Edward Lowassa (Guest) on August 19, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Monica Lissu (Guest) on June 27, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

John Lissu (Guest) on June 10, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Hellen Nduta (Guest) on April 11, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Simon Kiprono (Guest) on February 26, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Emily Chepngeno (Guest) on February 2, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Brian Karanja (Guest) on November 5, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Mrope (Guest) on October 10, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Nancy Kabura (Guest) on September 27, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Joy Wacera (Guest) on August 5, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Stephen Kikwete (Guest) on July 29, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Anna Mahiga (Guest) on July 1, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

David Musyoka (Guest) on June 7, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Related Posts

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More