Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

ATUKUZWE BABA

Featured Image

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zote,
na milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mchome (Guest) on August 11, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lydia Mahiga (Guest) on July 16, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Miriam Mchome (Guest) on May 2, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Robert Okello (Guest) on March 31, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Margaret Anyango (Guest) on February 12, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Nancy Akumu (Guest) on October 30, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

George Mallya (Guest) on September 24, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Betty Kimaro (Guest) on July 1, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Mary Kendi (Guest) on June 1, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Frank Sokoine (Guest) on April 26, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Fredrick Mutiso (Guest) on April 19, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Grace Majaliwa (Guest) on April 18, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Henry Mollel (Guest) on April 1, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Benjamin Masanja (Guest) on February 7, 2016

Endelea kuwa na imani!

Patrick Akech (Guest) on February 6, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Sarah Mbise (Guest) on January 13, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Elizabeth Malima (Guest) on November 25, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Andrew Mahiga (Guest) on November 11, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Moses Kipkemboi (Guest) on September 12, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

John Mwangi (Guest) on July 26, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Emily Chepngeno (Guest) on June 19, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Anna Sumari (Guest) on June 9, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Mercy Atieno (Guest) on May 10, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Related Posts

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More