Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Featured Image

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on November 19, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Chacha (Guest) on November 4, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

David Nyerere (Guest) on October 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Charles Wafula (Guest) on October 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Edith Cherotich (Guest) on September 2, 2017

Amina

Lydia Mahiga (Guest) on August 26, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

George Mallya (Guest) on August 5, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Vincent Mwangangi (Guest) on May 10, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Elijah Mutua (Guest) on May 1, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Ruth Wanjiku (Guest) on March 29, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mrema (Guest) on March 22, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Adhiambo (Guest) on March 6, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Frank Sokoine (Guest) on March 5, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Linda Karimi (Guest) on December 13, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Nora Lowassa (Guest) on December 7, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Brian Karanja (Guest) on September 16, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Charles Wafula (Guest) on July 19, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Moses Mwita (Guest) on January 25, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Peter Tibaijuka (Guest) on August 18, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Mahiga (Guest) on April 6, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)