Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Featured Image

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na uliyemtazama Mwana wako akifa, unitazame kwa huruma ya kimama ninayekusikitikia. Kwa sababu ya upanga uliochoma moyo wako, kwa mateso ya maisha yako nakuomba uniangalie kwa wema ukasikilize maombi yangu. Nakuomba, ee Mama, uniombee daima kwa Mwana wako, najua hawezi kukuvyima wewe kitu chochote. Basi, ufanye, Moyo wa Mwanao ukubali kunijalia ombi langu hili …………………(taja ombi lako).
Maana nitamkimbilia nani katika mahitaji na misiba yangu isipokuwa kwako, ee Mama wa huruma? Wewe hasa unaweza kutusaidia sisi tulio bado katika bonde la machozi kwa sababu ulishiriki mateso ya Mwanao kutukomboa. Umtolee Yesu tone moja la Damu yake takatifu. Umkumbushe ya kuwa wewe ni matumaini, furaha na maisha yetu ukanipatie jambo ninalokuomba kwa Yesu Kristo, bwana wetu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Wafula (Guest) on February 13, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Miriam Mchome (Guest) on January 20, 2018

Dumu katika Bwana.

Rose Lowassa (Guest) on January 10, 2018

Nakuombea πŸ™

Lydia Mahiga (Guest) on September 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Alice Jebet (Guest) on August 7, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Emily Chepngeno (Guest) on July 14, 2017

Rehema hushinda hukumu

Rose Kiwanga (Guest) on July 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Philip Nyaga (Guest) on June 28, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Jane Muthui (Guest) on April 22, 2017

Sifa kwa Bwana!

Daniel Obura (Guest) on March 31, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Fredrick Mutiso (Guest) on March 13, 2017

Endelea kuwa na imani!

Lucy Wangui (Guest) on February 13, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

George Tenga (Guest) on December 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Monica Adhiambo (Guest) on November 16, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Carol Nyakio (Guest) on October 28, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Betty Akinyi (Guest) on October 24, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Rose Kiwanga (Guest) on October 5, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Samson Mahiga (Guest) on March 14, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Henry Sokoine (Guest) on August 25, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Peter Mbise (Guest) on August 3, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 16, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Elizabeth Mrope (Guest) on April 1, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More