Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu.Β Amina.
SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU
Date: January 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More
LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More
SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More
Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More
SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More
SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More
Sala ya Malaika wa Bwana
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More
LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B...
Read More
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More
Majitoleo kwa Bikira Maria
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na...
Read More
Wilson Ombati (Guest) on April 6, 2018
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Janet Sumaye (Guest) on March 25, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Sarah Mbise (Guest) on February 22, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Elizabeth Mtei (Guest) on February 4, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Peter Mbise (Guest) on December 26, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Samson Tibaijuka (Guest) on October 9, 2017
Sifa kwa Bwana!
Elizabeth Mrope (Guest) on July 21, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Lydia Mutheu (Guest) on May 26, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Josephine Nduta (Guest) on May 10, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Victor Malima (Guest) on March 24, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
Peter Otieno (Guest) on January 25, 2017
Mungu akubariki!
Francis Njeru (Guest) on January 10, 2017
Mwamini katika mpango wake.
Anna Mchome (Guest) on November 4, 2016
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Edith Cherotich (Guest) on September 30, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Nancy Kawawa (Guest) on September 28, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Charles Wafula (Guest) on March 8, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Jane Muthui (Guest) on February 2, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Kahina (Guest) on January 20, 2016
πππ
Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2016
ππ Nakusihi Mungu
Grace Wairimu (Guest) on December 12, 2015
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Mary Sokoine (Guest) on December 2, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
Vincent Mwangangi (Guest) on November 1, 2015
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015
Rehema zake hudumu milele
Paul Ndomba (Guest) on June 10, 2015
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
David Kawawa (Guest) on May 9, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Susan Wangari (Guest) on May 1, 2015
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu