Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Featured Image

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe nami leo hii,
Kuniangaza na kunilinda,
Kunitawala na kuniongoza.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Lowassa (Guest) on October 5, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Victor Malima (Guest) on September 1, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Stephen Kikwete (Guest) on August 27, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Thomas Mtaki (Guest) on May 10, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Brian Karanja (Guest) on May 2, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 30, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Victor Malima (Guest) on February 7, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Peter Mbise (Guest) on January 16, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Grace Mushi (Guest) on January 9, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Lydia Mutheu (Guest) on October 7, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Stephen Mushi (Guest) on September 24, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jane Muthui (Guest) on July 29, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 12, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Charles Mrope (Guest) on May 18, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Janet Sumari (Guest) on April 28, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Mary Sokoine (Guest) on April 3, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Lucy Mushi (Guest) on March 29, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Edwin Ndambuki (Guest) on January 8, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Peter Tibaijuka (Guest) on October 16, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Monica Adhiambo (Guest) on August 28, 2015

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Francis Mtangi (Guest) on August 17, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Betty Kimaro (Guest) on April 22, 2015

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Related Posts

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More