Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Featured Image

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Missed calls 16? Umeua betri la simu yangu. Kwa hiyo hata mimi unaweza kuniua… It's Over!!!
_
2. Hata hunieshimu. Mi naongea na wewe lakini we upo bize unavuta pumzi? It's over!
_
3. Nimekupigia umepokea simu hapohapo. Huna subira. It’s over!!
_

4. Nilikwambia huwa napenda chakula cha moto lakini hujanipashia ice cream. Hunijali. It's over!
_
5. Nimekupa mayai mawili, moja uchemshe jingine ukaange. We umekaanga ambalo ulitakiwa kuchemsha na umechemsha ulilotakiwa kukaanga. Huniheshimu, It’s over!
_
6. Nimekuita DARLING na wewe ukaniita HONEY. Yani kwa maana nyingine unamuita mama yangu NYUKI. Huheshimu wazazi wangu, fungasha kilicho chako. its over.

πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Maimuna (Guest) on June 4, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Peter Mwambui (Guest) on May 4, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rahma (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Benjamin Masanja (Guest) on February 10, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Kawawa (Guest) on January 16, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on January 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on December 15, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on December 9, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Jafari (Guest) on December 8, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on December 2, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 26, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Lucy Kimotho (Guest) on November 14, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Biashara (Guest) on November 13, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Alice Jebet (Guest) on November 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on October 21, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Janet Sumaye (Guest) on October 10, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on September 26, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Monica Adhiambo (Guest) on July 10, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Mussa (Guest) on May 6, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on May 6, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on April 15, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Neema (Guest) on March 20, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Ndomba (Guest) on March 15, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Thomas Mtaki (Guest) on March 1, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on February 25, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on February 25, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthoni (Guest) on January 16, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on December 9, 2020

🀣πŸ”₯😊

Alice Jebet (Guest) on November 19, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on November 10, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Raha (Guest) on October 31, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Wafula (Guest) on October 28, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on October 13, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Betty Akinyi (Guest) on October 5, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Selemani (Guest) on September 26, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Kamande (Guest) on September 2, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Maida (Guest) on September 2, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Stephen Kangethe (Guest) on August 9, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on July 25, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Neema (Guest) on July 21, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rubea (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on July 16, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on June 26, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

John Lissu (Guest) on June 19, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rose Kiwanga (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on June 14, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on June 5, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Jebet (Guest) on June 1, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on May 10, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Lucy Mahiga (Guest) on March 19, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Amani (Guest) on March 18, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mercy Atieno (Guest) on March 17, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on January 14, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on December 16, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on December 13, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More