Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…

Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:Β "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomuπŸ’£ lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…"Β Yule jamaa akajirusha dirishaniβ€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜…

​kwani mi napenda ujinga xx πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on February 27, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on January 21, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Andrew Mahiga (Guest) on December 25, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on December 16, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Philip Nyaga (Guest) on November 15, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on October 20, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on September 23, 2021

🀣πŸ”₯😊

Rose Lowassa (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Frank Macha (Guest) on September 8, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on August 28, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on August 21, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on August 12, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on July 19, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Patrick Akech (Guest) on July 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on June 15, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Warda (Guest) on June 13, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Arifa (Guest) on June 13, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on May 30, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Malecela (Guest) on May 28, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kitine (Guest) on April 21, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Mchome (Guest) on March 21, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on March 19, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

David Chacha (Guest) on March 19, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on March 15, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on March 13, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on February 17, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on February 8, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 3, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on December 17, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on December 16, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Faith Kariuki (Guest) on November 19, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Malecela (Guest) on November 17, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on October 15, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on September 24, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jamila (Guest) on August 20, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on August 7, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on July 19, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on June 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on June 10, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Kheri (Guest) on June 4, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lucy Mushi (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sofia (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Esther Nyambura (Guest) on May 19, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Catherine Naliaka (Guest) on April 21, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kheri (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on November 13, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Salima (Guest) on November 2, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Zuhura (Guest) on November 2, 2019

Asante Ackyshine

Moses Mwita (Guest) on October 18, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More