Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on June 4, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on May 31, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on May 5, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on May 4, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Issa (Guest) on April 26, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mwafirika (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jackson Makori (Guest) on April 17, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 15, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on April 10, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on April 5, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on March 23, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on March 21, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on March 13, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on February 15, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Mahiga (Guest) on February 7, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Andrew Mchome (Guest) on January 9, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Grace Wairimu (Guest) on December 11, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

John Lissu (Guest) on November 27, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Faith Kariuki (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Zulekha (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anthony Kariuki (Guest) on October 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Asha (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jane Muthui (Guest) on September 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Issa (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Dorothy Nkya (Guest) on August 28, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on August 5, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on July 20, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on June 23, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on June 20, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Hashim (Guest) on May 29, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mhina (Guest) on May 28, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on May 21, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on May 13, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Mushi (Guest) on May 9, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on May 1, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on April 9, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on February 21, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Kibwana (Guest) on February 15, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Catherine Mkumbo (Guest) on February 10, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on February 3, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on January 17, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on December 12, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on November 26, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Chum (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on September 30, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on September 14, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Margaret Mahiga (Guest) on September 13, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Vincent Mwangangi (Guest) on September 5, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Tibaijuka (Guest) on August 27, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on August 22, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 15, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ann Awino (Guest) on August 9, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maneno (Guest) on August 5, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Josephine Nduta (Guest) on July 25, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More