Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.
03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia Siasa na kuwaongoza wote hapo juu. Yaani wa kwanza na wa pili.
04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu wote hawana raha.
05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa shule wanakuwa waganga wa kienyeji, wote hapo juu watamtafuta huyu, pale mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸƒπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Lissu (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Samuel Were (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Janet Sumari (Guest) on March 30, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Mushi (Guest) on February 14, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Andrew Mahiga (Guest) on February 11, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alex Nakitare (Guest) on January 31, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Wairimu (Guest) on January 20, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on January 7, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 22, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Monica Nyalandu (Guest) on December 21, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 17, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 16, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 12, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on December 12, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

George Tenga (Guest) on December 10, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jamal (Guest) on November 28, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Amukowa (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Frank Macha (Guest) on November 4, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on October 13, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

George Mallya (Guest) on September 2, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on August 15, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on August 2, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 24, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Kawawa (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Wafula (Guest) on April 28, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nancy Komba (Guest) on March 29, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on March 28, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Makame (Guest) on March 2, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Kawawa (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Tabu (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Sokoine (Guest) on February 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on January 19, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on September 20, 2020

😊🀣πŸ”₯

Zuhura (Guest) on August 24, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mazrui (Guest) on August 17, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on August 16, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on July 27, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Mary Sokoine (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Esther Nyambura (Guest) on July 19, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on July 5, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on May 27, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on May 14, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Grace Njuguna (Guest) on May 5, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on March 8, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on March 6, 2020

🀣πŸ”₯😊

Ann Awino (Guest) on February 17, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Emily Chepngeno (Guest) on January 26, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Shabani (Guest) on January 9, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 12, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on December 2, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Esther Nyambura (Guest) on November 21, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ahmed (Guest) on November 20, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Wande (Guest) on October 25, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Hamida (Guest) on October 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Hellen Nduta (Guest) on October 19, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Miriam Mchome (Guest) on September 2, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on August 17, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Rose Kiwanga (Guest) on June 29, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on June 14, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More