Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samson Mahiga (Guest) on January 5, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on November 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on November 21, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 16, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on October 27, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Patrick Akech (Guest) on October 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on October 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Samson Mahiga (Guest) on October 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sultan (Guest) on October 8, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Andrew Mahiga (Guest) on October 2, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on September 18, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanaisha (Guest) on September 16, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Jebet (Guest) on August 3, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 25, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kenneth Murithi (Guest) on June 27, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Jamal (Guest) on April 8, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 6, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 29, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Issack (Guest) on March 10, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Robert Ndunguru (Guest) on February 26, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on January 25, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on January 18, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rubea (Guest) on January 14, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Betty Akinyi (Guest) on December 14, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

John Malisa (Guest) on November 26, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Achieng (Guest) on October 5, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on October 1, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on August 25, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Carol Nyakio (Guest) on July 13, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Kahina (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Philip Nyaga (Guest) on June 2, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Edward Chepkoech (Guest) on May 28, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on May 16, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Victor Malima (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwinyi (Guest) on February 22, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Fadhila (Guest) on February 4, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on January 26, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on January 1, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanais (Guest) on December 21, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 4, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on November 28, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Rose Kiwanga (Guest) on November 14, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Safiya (Guest) on November 6, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mariam Hassan (Guest) on November 3, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on October 30, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on October 29, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on September 21, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on August 14, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Fadhili (Guest) on July 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Wairimu (Guest) on June 30, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Violet Mumo (Guest) on June 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on May 29, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Latifa (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sarah Karani (Guest) on March 28, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Majaliwa (Guest) on March 22, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More