Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Featured Image

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?
Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda)
Anna: Haya nionyeshe…

Zuzu: Funga mlango na madirisha kwanza (akafunga)
Anna: Haya nionyeshe sasa!..
Zuzu: Zima taa kwanza (akazima)
Anna: Mhm…nionyeshe sasa!
Zuzu: Haya njoo hapa kitandani…
Anna: Ok, nionyeshe!
Zuzu: Ona nimenunua saa ambayo inawaka yenyewe gizani… Acha mawazo mabaya ww???

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nyota (Guest) on November 9, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on October 3, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on June 10, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Ann Awino (Guest) on June 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Paul Kamau (Guest) on May 28, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 22, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on May 2, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joyce Nkya (Guest) on April 29, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Zubeida (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 5, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on March 27, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on March 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

David Ochieng (Guest) on March 11, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on March 8, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 17, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nuru (Guest) on February 17, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zakaria (Guest) on February 3, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Francis Mtangi (Guest) on January 15, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on January 10, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jacob Kiplangat (Guest) on January 10, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Mahiga (Guest) on November 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fredrick Mutiso (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on October 3, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shamsa (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Maimuna (Guest) on September 23, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Were (Guest) on September 16, 2020

😊🀣πŸ”₯

Athumani (Guest) on September 14, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Lucy Kimotho (Guest) on September 13, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on September 5, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on August 31, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Amir (Guest) on August 5, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on July 24, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Baridi (Guest) on July 20, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on July 16, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Josephine Nekesa (Guest) on July 5, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on May 19, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Asha (Guest) on May 6, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Frank Macha (Guest) on May 3, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on March 8, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on March 2, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on January 9, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on December 24, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on December 19, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Nahida (Guest) on October 24, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Edward Lowassa (Guest) on September 20, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mwinyi (Guest) on September 16, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Neema (Guest) on August 23, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Frank Macha (Guest) on July 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Zakaria (Guest) on June 8, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Alice Wanjiru (Guest) on May 26, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on May 10, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on May 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More