Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Carol Nyakio (Guest) on July 17, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

James Kawawa (Guest) on July 1, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on June 30, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on June 22, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on April 26, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on April 16, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 20, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanakhamis (Guest) on March 7, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ibrahim (Guest) on February 15, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on December 27, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ibrahim (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mwinyi (Guest) on November 23, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 8, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on October 30, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rahma (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Lucy Mahiga (Guest) on August 16, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mahiga (Guest) on July 27, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Nyambura (Guest) on July 24, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Anna Kibwana (Guest) on July 4, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on May 23, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mohamed (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on April 29, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on April 28, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Mrope (Guest) on April 23, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Grace Wairimu (Guest) on April 18, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on February 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on February 5, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sumaya (Guest) on January 4, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Joyce Aoko (Guest) on December 17, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on December 15, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Anthony Kariuki (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Kawawa (Guest) on November 21, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on October 29, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kahina (Guest) on October 23, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Salum (Guest) on September 16, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Kevin Maina (Guest) on September 8, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mwanaisha (Guest) on August 2, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 7, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on July 4, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Azima (Guest) on June 16, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on May 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Hawa (Guest) on May 23, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

John Kamande (Guest) on May 19, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 15, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on March 27, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on March 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Mahiga (Guest) on March 1, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on February 18, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on February 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on February 7, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on January 14, 2022

😊🀣πŸ”₯

Mwagonda (Guest) on December 1, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on November 4, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shani (Guest) on October 14, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Related Posts

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More