Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.

Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.

Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza,

'Nyie mnafanya nini hapa?'

Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Hassan (Guest) on July 9, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Guest (Guest) on September 11, 2025

Huyo dalali hana akili

Shamim (Guest) on July 5, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on May 24, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kassim (Guest) on May 22, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on April 23, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jackson Makori (Guest) on January 5, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Saidi (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on December 31, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Karani (Guest) on December 8, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rabia (Guest) on November 18, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Fadhili (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakia (Guest) on September 18, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Lowassa (Guest) on September 13, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Zainab (Guest) on September 11, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Grace Minja (Guest) on August 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on August 28, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Chris Okello (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on August 15, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on August 6, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jane Muthoni (Guest) on August 1, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 24, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on July 17, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on July 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on July 13, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on July 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Mrope (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Michael Mboya (Guest) on June 25, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Warda (Guest) on June 11, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on June 4, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kimario (Guest) on May 28, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Maneno (Guest) on May 13, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Chacha (Guest) on April 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Sarah Karani (Guest) on April 16, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on April 2, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on March 18, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on February 23, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Josephine Nekesa (Guest) on February 19, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Minja (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on January 12, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Komba (Guest) on December 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Omar (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mazrui (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Stephen Amollo (Guest) on November 22, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on November 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Shukuru (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mariam Hassan (Guest) on October 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 7, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Zuhura (Guest) on October 5, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More