Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Featured Image

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Maria Bikira Milele, na mkubwa wa Familia Takatifu. Umechaguliwa na Mwakilishi wa Kristu kama Msimamizi wa kimbingu na mlinzi wa Kanisa alilolianzisha Kristu. Ndiyo maana ninakuomba kwa matumaini makuu usaidizi wako wenye nguvu kwa ajili ya Kanisa zima duniani.

Mlinde kwa namna ya pekee, kwa upendo wa kikweli wa ki-baba, Baba Mtakatifu na Maaskofu wote na Mapadre wenye ushirika na Kiti cha Petro. Uwe mlinzi wao wote wanaotumikia wokovu wa wanadamu kati ya majaribu na mahangaiko ya maisha haya, na utujalie kwamba watu wote wa dunia hii wamfuate Kristu na Kanisa alilolianzisha.


Mpendwa Mtakatifu Yosefu, ukubali majitoleo ya nafsi yangu ambayo sasa ninafanya. Ninajiweka wakfu kwako kwa ajili ya utumishi wako, ili daima wewe uwe baba yangu, mlinzi wangu, na kiongozi wangu katika njia ya wokovu. Unijalie usafi mkuu wa moyo na matamanio makuu ya maisha ya kiroho. Unijalie ili matendo yangu yote, kwa mfano wako, yawe kwa ajili ya sifa na utukufu wa Mungu, pamoja na Moyo wa kimungu wa Yesu, moyo safi wa Maria, na moyo wako wa ki-baba. Uniombee, nami nishiriki kifo chako cha furaha na kitakatifu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kitine (Guest) on June 20, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Janet Sumari (Guest) on February 28, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Benjamin Kibicho (Guest) on January 25, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Victor Malima (Guest) on November 27, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

David Chacha (Guest) on October 15, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Anna Malela (Guest) on July 23, 2023

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Diana Mumbua (Guest) on June 28, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Mariam Kawawa (Guest) on June 1, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Anna Malela (Guest) on April 26, 2023

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

James Kawawa (Guest) on November 12, 2022

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Esther Nyambura (Guest) on November 1, 2022

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Lucy Wangui (Guest) on September 2, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

John Mwangi (Guest) on July 27, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Francis Njeru (Guest) on June 30, 2022

Nakuombea πŸ™

Wilson Ombati (Guest) on May 8, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Monica Nyalandu (Guest) on May 3, 2022

πŸ™πŸ™πŸ™

Peter Mugendi (Guest) on May 1, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Janet Mwikali (Guest) on April 21, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Joseph Njoroge (Guest) on February 16, 2022

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Hellen Nduta (Guest) on December 20, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Mary Mrope (Guest) on October 25, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Alex Nakitare (Guest) on October 5, 2021

Mungu ni mwema, wakati wote!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 20, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

David Ochieng (Guest) on September 3, 2021

Dumu katika Bwana.

Victor Mwalimu (Guest) on August 21, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Dorothy Nkya (Guest) on July 16, 2021

Rehema zake hudumu milele

Anna Mahiga (Guest) on June 14, 2021

Mwamini katika mpango wake.

Rose Kiwanga (Guest) on June 13, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

John Kamande (Guest) on April 25, 2021

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Robert Ndunguru (Guest) on March 2, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Joyce Nkya (Guest) on January 14, 2021

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Emily Chepngeno (Guest) on November 30, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

John Mwangi (Guest) on September 8, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

John Mwangi (Guest) on August 3, 2020

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Samson Mahiga (Guest) on July 15, 2020

Baraka kwako na familia yako.

Lydia Mutheu (Guest) on July 13, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

David Sokoine (Guest) on May 17, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

Lucy Kimotho (Guest) on April 26, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Joy Wacera (Guest) on February 10, 2020

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Alex Nyamweya (Guest) on February 9, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Josephine Nduta (Guest) on January 6, 2020

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

David Musyoka (Guest) on December 3, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Anna Mahiga (Guest) on November 17, 2019

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Tabitha Okumu (Guest) on October 17, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Anna Mahiga (Guest) on October 16, 2019

Sifa kwa Bwana!

Janet Wambura (Guest) on August 31, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Wilson Ombati (Guest) on June 27, 2019

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Mariam Kawawa (Guest) on June 2, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Chris Okello (Guest) on February 18, 2019

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Lucy Mushi (Guest) on January 24, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Mwangi (Guest) on December 16, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Ruth Kibona (Guest) on September 5, 2018

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Ochieng (Guest) on August 27, 2018

Endelea kuwa na imani!

Lydia Wanyama (Guest) on June 8, 2018

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Hellen Nduta (Guest) on May 26, 2018

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

John Mushi (Guest) on May 16, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Wairimu (Guest) on May 5, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Joyce Aoko (Guest) on March 24, 2018

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 12, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Related Posts

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More